Zaburi 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+ 2 Wathesalonike 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowasababishia ninyi dhiki.+
12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+
6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowasababishia ninyi dhiki.+