Kutoka 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mlima Sinai ulifuka moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa ukipaa kama moshi wa tanuru,* na mlima wote ulikuwa ukitetemeka kwa nguvu sana.+ Zaburi 77:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sauti ya mngurumo+ wako ilikuwa kama magurudumu ya gari la vita;Mimweko ya radi iliangaza dunia inayokaliwa;*+Dunia ilitikisika na kutetemeka.+
18 Mlima Sinai ulifuka moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa ukipaa kama moshi wa tanuru,* na mlima wote ulikuwa ukitetemeka kwa nguvu sana.+
18 Sauti ya mngurumo+ wako ilikuwa kama magurudumu ya gari la vita;Mimweko ya radi iliangaza dunia inayokaliwa;*+Dunia ilitikisika na kutetemeka.+