2 Wafalme 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Rudi ukamwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ‘Yehova Mungu wa Daudi babu yako anasema hivi: “Nimesikia sala yako. Nimeona machozi yako.+ Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+ Zaburi 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nionyeshe kibali,* Ee Yehova, kwa maana ninadhoofika. Niponye, Ee Yehova,+ kwa maana mifupa yangu inatetemeka. Zaburi 103:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Husamehe makosa yako yote+Na kuyaponya magonjwa yako yote;+
5 “Rudi ukamwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ‘Yehova Mungu wa Daudi babu yako anasema hivi: “Nimesikia sala yako. Nimeona machozi yako.+ Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+
2 Nionyeshe kibali,* Ee Yehova, kwa maana ninadhoofika. Niponye, Ee Yehova,+ kwa maana mifupa yangu inatetemeka.