Zaburi 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Yehova, kwa nini unasimama mbali? Kwa nini unajificha nyakati za taabu?+ Zaburi 143:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nijibu haraka, Ee Yehova;+Nguvu zangu zimefikia* mwisho.+ Usinifiche uso wako,+La sivyo nitakuwa kama wale wanaoshuka shimoni.*+
7 Nijibu haraka, Ee Yehova;+Nguvu zangu zimefikia* mwisho.+ Usinifiche uso wako,+La sivyo nitakuwa kama wale wanaoshuka shimoni.*+