Zaburi 62:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 62 Kwa kweli, ninamngojea Mungu kimyakimya. Wokovu wangu unatoka kwake.+ Maombolezo 3:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hakika utakumbuka na kuinama juu yangu.+ 21 Ninakumbuka hili moyoni mwangu; ndiyo sababu nitaonyesha mtazamo wa kungojea.+ Mika 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea* Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+
20 Kwa hakika utakumbuka na kuinama juu yangu.+ 21 Ninakumbuka hili moyoni mwangu; ndiyo sababu nitaonyesha mtazamo wa kungojea.+
7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea* Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+