-
Ayubu 38:8-11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Na ni nani aliyeizuia bahari nyuma ya milango+
Ilipotoka kwa nguvu katika tumbo la uzazi,
9 Nilipoivalisha mawingu
Na kuifunika kwa* giza zito,
10 Nilipoiwekea mpaka wangu
Na kuweka makomeo yake na milango yake mahali pake,+
11 Nami nikaiambia, ‘Unaweza kufika hapa, lakini usipite hapa;
Hapa ndipo mawimbi yako ya kifahari yatakapokomea’?+
-
-
Methali 8:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Alipoiwekea bahari sheria
Kwamba maji yake yasipite agizo lake,+
Alipoiweka* misingi ya dunia,
-