Zaburi 145:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.*+ ר [Resh] 19 Hutosheleza tamaa ya wale wanaomwogopa;+Husikia kilio chao cha kuomba msaada, naye huwaokoa.+
18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.*+ ר [Resh] 19 Hutosheleza tamaa ya wale wanaomwogopa;+Husikia kilio chao cha kuomba msaada, naye huwaokoa.+