Zaburi 38:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini kama kiziwi, sikuwasikiliza;+Na kama bubu, sikufumbua kinywa changu.+ Mathayo 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini alipokuwa akishtakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu.+ 1 Petro 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alipokuwa akitukanwa,*+ hakujibu kwa kutukana.*+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali alijikabidhi mkononi mwa Yule anayehukumu+ kwa uadilifu.
23 Alipokuwa akitukanwa,*+ hakujibu kwa kutukana.*+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali alijikabidhi mkononi mwa Yule anayehukumu+ kwa uadilifu.