Zaburi 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wengi wanasema hivi kunihusu:* “Mungu hatamwokoa.”+ (Sela)* Zaburi 71:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Maadui wangu wanasema mambo mabaya kunihusu,Na wale wanaotaka kuniua* wanapanga njama pamoja,+11 Wakisema: “Mungu amemwacha. Mkimbizeni na kumkamata, kwa maana hakuna yeyote wa kumwokoa.”+
10 Maadui wangu wanasema mambo mabaya kunihusu,Na wale wanaotaka kuniua* wanapanga njama pamoja,+11 Wakisema: “Mungu amemwacha. Mkimbizeni na kumkamata, kwa maana hakuna yeyote wa kumwokoa.”+