Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wengi wanasema hivi kunihusu:*

      “Mungu hatamwokoa.”+ (Sela)*

  • Zaburi 42:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Maadui wangu wananidhihaki kwa chuki kali sana;**

      Mchana kutwa wananidhihaki wakisema: “Mungu wako yuko wapi?”+

  • Mathayo 27:42, 43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 “Aliwaokoa wengine lakini hawezi kujiokoa mwenyewe! Yeye ni Mfalme wa Israeli;+ acheni sasa ashuke kutoka kwenye mti wa mateso* nasi tutamwamini. 43 Amemtegemea Mungu; acheni Mungu amwokoe ikiwa anamtaka,+ kwa maana alisema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki