7 Lakini ninyi mnaopata dhiki mtapata kitulizo pamoja nasi wakati wa ufunuo wa Bwana Yesu+ kutoka mbinguni akiwa pamoja na malaika wake wenye nguvu+ 8 katika mwali wa moto, atakapoleta kisasi juu ya wale wasiomjua Mungu na wale wasiotii habari njema kumhusu Bwana wetu Yesu.+