-
Wagalatia 5:20, 21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 ibada ya sanamu, kuwasiliana na roho,*+ chuki, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, migogoro, migawanyiko, madhehebu, 21 husuda, ulevi,+ karamu zenye vurugu, * na mambo kama hayo.+ Ninawaonya mapema kuhusu mambo hayo, kama vile nilivyowaonya tayari, kwamba wale wanaozoea kufanya mambo hayo hawataurithi Ufalme wa Mungu.+
-