Methali 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Usiingie katika kijia cha waovu,Wala usitembee katika njia ya watu wabaya.+ Methali 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anayetembea na wenye hekima atakuwa na hekima,+Lakini anayeshirikiana na wapumbavu ataumia.+ 1 Wakorintho 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Msipotoshwe. Kushirikiana na watu wabaya huharibu tabia nzuri.*+