Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ndugu wote wa mtu maskini humchukia;+

      Marafiki zake humwepuka hata zaidi!+

      Huwafuatia ili awasihi, lakini hakuna yeyote anayemsikiliza.

  • Methali 30:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yaondolee mbali nami mambo yasiyo ya kweli na ya uwongo.+

      Usinipe umaskini wala utajiri.

      Acha nile tu fungu langu la chakula,+

       9 Ili nisishibe na kukukana na kusema, “Yehova ni nani?”+

      Wala usiruhusu niwe maskini, niibe na kuliaibisha* jina la Mungu wangu.

  • Mhubiri 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana hekima ni ulinzi+ kama pesa zilivyo ulinzi,+ lakini hii ndiyo faida ya ujuzi: Hekima humhifadhi hai yule aliye nayo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki