Mambo ya Walawi 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usizungukezunguke kati ya watu wako ukieneza uchongezi.+ Usihatarishe uhai wa* mwenzako.+ Mimi ni Yehova. Methali 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mchongezi huzurura-zurura akifunua mazungumzo ya siri;+Usishirikiane na mtu anayependa kupiga porojo.* Methali 26:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Maneno ya mchongezi ni kama matonge matamu;*Humezwa na kushuka tumboni moja kwa moja.+
16 “‘Usizungukezunguke kati ya watu wako ukieneza uchongezi.+ Usihatarishe uhai wa* mwenzako.+ Mimi ni Yehova.
19 Mchongezi huzurura-zurura akifunua mazungumzo ya siri;+Usishirikiane na mtu anayependa kupiga porojo.*