Mambo ya Walawi 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usizungukezunguke kati ya watu wako ukieneza uchongezi.+ Usihatarishe uhai wa* mwenzako.+ Mimi ni Yehova. Methali 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mchongezi huzurura-zurura akifunua mazungumzo ya siri,+Lakini mtu anayeaminika* hutunza siri.* Methali 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Suluhisha jambo hilo na jirani yako,+Lakini usifunue uliyoambiwa sirini,*+ Methali 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Upepo wa kaskazini huleta mvua,Na ulimi unaopiga porojo huleta uso wenye hasira.+
16 “‘Usizungukezunguke kati ya watu wako ukieneza uchongezi.+ Usihatarishe uhai wa* mwenzako.+ Mimi ni Yehova.
9 Suluhisha jambo hilo na jirani yako,+Lakini usifunue uliyoambiwa sirini,*+ Methali 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Upepo wa kaskazini huleta mvua,Na ulimi unaopiga porojo huleta uso wenye hasira.+