Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Usizungukezunguke kati ya watu wako ukieneza uchongezi.+ Usihatarishe uhai wa* mwenzako.+ Mimi ni Yehova.

  • Methali 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mchongezi huzurura-zurura akifunua mazungumzo ya siri,+

      Lakini mtu anayeaminika* hutunza siri.*

  • Methali 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Suluhisha jambo hilo na jirani yako,+

      Lakini usifunue uliyoambiwa sirini,*+

  • Methali 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Upepo wa kaskazini huleta mvua,

      Na ulimi unaopiga porojo huleta uso wenye hasira.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki