Methali 6:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kuna vitu sita ambavyo Yehova anachukia;Naam, vitu saba vinavyomchukiza: 17 Macho ya kiburi,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+ Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+ Methali 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Macho ya kiburi na moyo wenye majivuno—Taa inayowaongoza waovu ni dhambi.+
16 Kuna vitu sita ambavyo Yehova anachukia;Naam, vitu saba vinavyomchukiza: 17 Macho ya kiburi,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+ Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+ Methali 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Macho ya kiburi na moyo wenye majivuno—Taa inayowaongoza waovu ni dhambi.+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+ Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+