Methali 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtu huyatayarisha mawazo ya moyo wake,*Lakini jibu analotoa* hutoka kwa Yehova.+ Yeremia 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mwanadamu haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+
23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mwanadamu haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+