Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi Yoabu akaingia kwa mfalme na kumwambia: “Umefanya nini? Abneri alikuja kwako. Kwa nini ulimruhusu aende zake, akafanikiwa kutoroka?

  • 2 Samweli 3:38, 39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kisha mfalme akawaambia hivi watumishi wake: “Je, hamjui kwamba mkuu na mtu mashuhuri ameanguka leo katika Israeli?+ 39 Niko dhaifu leo, ingawa nimetiwa mafuta kuwa mfalme,+ na wanaume hawa, wana wa Seruya,+ ni wakatili sana kwangu.+ Yehova na amlipe mtenda maovu kulingana na uovu wake mwenyewe.”+

  • Methali 30:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kuna mambo matatu yanayoitetemesha dunia

      Na mambo manne ambayo haiwezi kuvumilia:

      22 Mtumwa anapotawala akiwa mfalme,+

      Mjinga anaposhiba kupita kiasi,

  • Mhubiri 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nimeona watumishi wakiwa wamepanda farasi lakini wakuu wakitembea kwa miguu kama watumishi tu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki