-
2 Samweli 3:24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Basi Yoabu akaingia kwa mfalme na kumwambia: “Umefanya nini? Abneri alikuja kwako. Kwa nini ulimruhusu aende zake, akafanikiwa kutoroka?
-
-
2 Samweli 3:38, 39Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
38 Kisha mfalme akawaambia hivi watumishi wake: “Je, hamjui kwamba mkuu na mtu mashuhuri ameanguka leo katika Israeli?+ 39 Niko dhaifu leo, ingawa nimetiwa mafuta kuwa mfalme,+ na wanaume hawa, wana wa Seruya,+ ni wakatili sana kwangu.+ Yehova na amlipe mtenda maovu kulingana na uovu wake mwenyewe.”+
-
-
Methali 30:21, 22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Kuna mambo matatu yanayoitetemesha dunia
Na mambo manne ambayo haiwezi kuvumilia:
22 Mtumwa anapotawala akiwa mfalme,+
Mjinga anaposhiba kupita kiasi,
-