Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 50:19-21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yosefu akawaambia: “Msiogope. Je, nimechukua nafasi ya Mungu? 20 Ingawa mlikusudia kunidhuru,+ Mungu alikusudia hali hiyo ibadilike na kuwa njema na kuokoa maisha ya watu wengi, kama anavyofanya leo.+ 21 Sasa basi msiogope. Nitaendelea kuwapa ninyi na watoto wenu chakula.”+ Kwa hiyo akawafariji na kuwatia moyo.

  • Mathayo 18:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Petro akaja na kumuuliza: “Bwana, ndugu yangu atanitendea dhambi mara ngapi nami nimsamehe? Mpaka mara saba?” 22 Yesu akamwambia: “Ninakuambia, si mpaka mara saba, bali mpaka mara 77.+

  • Waefeso 4:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Bali mtendeane kwa fadhili, huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu alivyowasamehe ninyi kwa hiari kupitia Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki