Mathayo 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na utusamehe madeni yetu, kama vile tunavyowasamehe wadeni wetu.+ Marko 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na mnaposimama kusali, wasameheni watu makosa waliyowatendea; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu pia.”+ Luka 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata akikutendea dhambi mara saba kwa siku, naye anarudi kwako mara saba akisema, ‘ninatubu,’ unapaswa kumsamehe.”+ Waefeso 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Bali mtendeane kwa fadhili, huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu alivyowasamehe ninyi kwa hiari kupitia Kristo.+ Wakolosai 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Endeleeni kuvumiliana na kusameheana kwa hiari+ hata ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika juu ya mwingine.+ Kama vile Yehova* alivyowasamehe kwa hiari, nanyi lazima mfanye vivyo hivyo.+
25 Na mnaposimama kusali, wasameheni watu makosa waliyowatendea; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu pia.”+
4 Hata akikutendea dhambi mara saba kwa siku, naye anarudi kwako mara saba akisema, ‘ninatubu,’ unapaswa kumsamehe.”+
32 Bali mtendeane kwa fadhili, huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu alivyowasamehe ninyi kwa hiari kupitia Kristo.+
13 Endeleeni kuvumiliana na kusameheana kwa hiari+ hata ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika juu ya mwingine.+ Kama vile Yehova* alivyowasamehe kwa hiari, nanyi lazima mfanye vivyo hivyo.+