Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 55:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mtu mwovu na aiache njia yake+

      Na mtu mbaya mawazo yake;

      Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+

      Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+

  • Mathayo 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 na utusamehe madeni yetu, kama vile tunavyowasamehe wadeni wetu.+

  • Mathayo 18:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Petro akaja na kumuuliza: “Bwana, ndugu yangu atanitendea dhambi mara ngapi nami nimsamehe? Mpaka mara saba?” 22 Yesu akamwambia: “Ninakuambia, si mpaka mara saba, bali mpaka mara 77.+

  • Wakolosai 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Endeleeni kuvumiliana na kusameheana kwa hiari+ hata ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika juu ya mwingine.+ Kama vile Yehova* alivyowasamehe kwa hiari, nanyi lazima mfanye vivyo hivyo.+

  • 1 Petro 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Zaidi ya mambo yote, pendaneni sana,+ kwa sababu upendo hufunika dhambi nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki