Methali 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ufahamu wa mtu hakika hutuliza hasira yake,+Na ni fahari kwake kuachilia* kosa.+ Waefeso 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Bali mtendeane kwa fadhili, huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu alivyowasamehe ninyi kwa hiari kupitia Kristo.+ 1 Petro 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Zaidi ya mambo yote, pendaneni sana,+ kwa sababu upendo hufunika dhambi nyingi.+
32 Bali mtendeane kwa fadhili, huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu alivyowasamehe ninyi kwa hiari kupitia Kristo.+