Methali 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana mlevi na mlafi watakuwa maskini,+Na kusinzia kutamvika mtu matambara. Methali 24:33, 34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lala kidogo, sinzia kidogo,Kunja mikono kidogo ili upumzike,34 Na umaskini wako utakuja kama jambazi,Na uhitaji wako kama mwanamume mwenye silaha.+ 2 Wathesalonike 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kweli, tulipokuwa nanyi tulikuwa tukiwaagiza hivi: “Mtu yeyote asiyetaka kufanya kazi, asile chakula.”+
33 Lala kidogo, sinzia kidogo,Kunja mikono kidogo ili upumzike,34 Na umaskini wako utakuja kama jambazi,Na uhitaji wako kama mwanamume mwenye silaha.+
10 Kwa kweli, tulipokuwa nanyi tulikuwa tukiwaagiza hivi: “Mtu yeyote asiyetaka kufanya kazi, asile chakula.”+