Mambo ya Walawi 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Usimlaghai mwenzako+ wala kumnyang’anya vitu vyake.+ Usikae na mshahara wa kibarua usiku kucha mpaka asubuhi.+ Methali 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kupata hazina kwa ulimi unaosema uwongoNi kama ukungu unaotoweka, mtego unaoangamiza.*+
13 Usimlaghai mwenzako+ wala kumnyang’anya vitu vyake.+ Usikae na mshahara wa kibarua usiku kucha mpaka asubuhi.+