Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,

      Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+

      Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+

      26 Sikuzote anakopesha bila faida,+

      Na watoto wake watapata baraka.

  • Zaburi 112:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Amegawa kwa wingi;* amewapa maskini.+

      צ [Tsade]

      Uadilifu wake unadumu milele.+

      ק [Qoph]

      Nguvu zake mwenyewe zitakwezwa* kwa utukufu.

  • Luka 6:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mpe kila mtu anayekuomba,+ na yule anayechukua vitu vyako, usimwombe akurudishie.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki