Zaburi 37:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+ 26 Sikuzote anakopesha bila faida,+Na watoto wake watapata baraka. Zaburi 112:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Amegawa kwa wingi;* amewapa maskini.+ צ [Tsade] Uadilifu wake unadumu milele.+ ק [Qoph] Nguvu zake mwenyewe zitakwezwa* kwa utukufu. Luka 6:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mpe kila mtu anayekuomba,+ na yule anayechukua vitu vyako, usimwombe akurudishie.
25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+ 26 Sikuzote anakopesha bila faida,+Na watoto wake watapata baraka.
9 Amegawa kwa wingi;* amewapa maskini.+ צ [Tsade] Uadilifu wake unadumu milele.+ ק [Qoph] Nguvu zake mwenyewe zitakwezwa* kwa utukufu.