Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zenu atakuwa maskini miongoni mwenu katika mojawapo ya majiji yaliyo katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, msiifanye mioyo yenu iwe migumu au kumfumbia mkono ndugu yenu maskini.+ 8 Kwa maana mnapaswa kumfumbulia mkono wenu kwa ukarimu+ na kufanya yote mwezayo kumkopesha* chochote anachohitaji au alichopungukiwa.

  • Methali 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Usiwanyime mema wale unaopaswa kuwatendea mema*+

      Ikiwa una uwezo wa kuwasaidia.*+

  • Methali 21:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Anatamani kwa pupa mchana kutwa,

      Lakini mwadilifu hutoa, hawanyimi wengine chochote.+

  • Mathayo 5:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Mpe yule anayekuomba, wala usimpe kisogo yule anayetaka umkopeshe.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki