Zaburi 111:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin] Wale wote wanaotii maagizo yake wana ufahamu mzuri.+ ת [Taw] Sifa yake hudumu milele. 2 Wakorintho 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.
10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin] Wale wote wanaotii maagizo yake wana ufahamu mzuri.+ ת [Taw] Sifa yake hudumu milele.
7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.