Methali 6:12-14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mtu mwovu asiyefaa kitu huzurura-zurura akisema maneno mapotovu;+13 Hukonyeza jicho lake,+ hutoa ishara kwa mguu wake, na kuashiria kwa vidole vyake. 14 Kwa moyo uliopotoka,Sikuzote anapanga njama za uovu+ na kueneza ugomvi.+
12 Mtu mwovu asiyefaa kitu huzurura-zurura akisema maneno mapotovu;+13 Hukonyeza jicho lake,+ hutoa ishara kwa mguu wake, na kuashiria kwa vidole vyake. 14 Kwa moyo uliopotoka,Sikuzote anapanga njama za uovu+ na kueneza ugomvi.+