Methali 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+Lakini ni maangamizi kwa watenda maovu.+ Methali 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Waovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayewakimbiza,Lakini waadilifu wana ujasiri kama simba.*+