13 Wajumbe wakapeleka kwenye mikoa yote ya mfalme barua zilizokuwa na agizo la kuangamiza, kuua, na kuwafutilia mbali Wayahudi wote, vijana kwa wazee, wanawake kwa watoto, katika siku moja, siku ya 13 ya mwezi wa 12, yaani, mwezi wa Adari,+ na kuchukua mali zao.+