Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 27:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Hata hivyo, Esau akawa na chuki kali dhidi ya Yakobo kwa sababu ya baraka ambayo baba yake alikuwa amempa,+ na Esau akawa akisema moyoni mwake: “Siku za kumwombolezea baba yangu zinakaribia.+ Zitakapokwisha nitamuua Yakobo ndugu yangu.”

  • 1 Samweli 20:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Maadamu mwana wa Yese anaishi duniani, wewe wala ufalme wako hautadumu.+ Basi sasa mtume mtu fulani amlete kwangu, kwa maana lazima afe.”*+

  • 1 Yohana 3:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana huu ndio ujumbe ambao mmesikia tangu mwanzo, kwamba tunapaswa kupendana;+ 12 si kama Kaini, aliyetokana na yule mwovu akamuua ndugu yake. Na kwa nini alimuua?+ Kwa sababu matendo yake mwenyewe yalikuwa maovu,+ lakini matendo ya ndugu yake yalikuwa ya uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki