Zaburi 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+ Luka 18:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha Bwana akasema: “Sikieni alichosema mwamuzi huyo ingawa si mwadilifu! 7 Kwa hakika, je, Mungu hatawatendea haki watu wake waliochaguliwa ambao wanamlilia mchana na usiku,+ huku akiwaonyesha subira?+
12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+
6 Kisha Bwana akasema: “Sikieni alichosema mwamuzi huyo ingawa si mwadilifu! 7 Kwa hakika, je, Mungu hatawatendea haki watu wake waliochaguliwa ambao wanamlilia mchana na usiku,+ huku akiwaonyesha subira?+