Zaburi 55:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wewe, Ee Mungu, utawashusha chini kwenye shimo lenye kina kabisa.+ Watu hao wenye hatia ya damu ambao ni wadanganyifu hawataishi nusu ya siku zao.+ Lakini mimi, nitakutumaini wewe. Methali 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kumwogopa Yehova hurefusha maisha,+Lakini miaka ya waovu itafupishwa.+
23 Lakini wewe, Ee Mungu, utawashusha chini kwenye shimo lenye kina kabisa.+ Watu hao wenye hatia ya damu ambao ni wadanganyifu hawataishi nusu ya siku zao.+ Lakini mimi, nitakutumaini wewe.