1 Wafalme 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati huo, Adoniya+ mwana wa Hagithi alikuwa akijikweza, akisema: “Nitakuwa mfalme!” Alijitengenezea gari, naye akawa na wapanda farasi na wanaume 50 waliokimbia mbele yake.+ 1 Wafalme 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alishauriana na Yoabu mwana wa Seruya na kuhani Abiathari,+ nao wakajitolea kumsaidia Adoniya na kumuunga mkono.+ Methali 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kutisha* kwa mfalme ni kama mngurumo wa simba;*+Yeyote anayemkasirisha anauhatarisha uhai wake mwenyewe.+
5 Wakati huo, Adoniya+ mwana wa Hagithi alikuwa akijikweza, akisema: “Nitakuwa mfalme!” Alijitengenezea gari, naye akawa na wapanda farasi na wanaume 50 waliokimbia mbele yake.+
7 Alishauriana na Yoabu mwana wa Seruya na kuhani Abiathari,+ nao wakajitolea kumsaidia Adoniya na kumuunga mkono.+
2 Kutisha* kwa mfalme ni kama mngurumo wa simba;*+Yeyote anayemkasirisha anauhatarisha uhai wake mwenyewe.+