- 
	                        
            
            1 Samweli 26:8-10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
8 Ndipo Abishai akamwambia Daudi: “Leo Mungu amemtia adui yako mikononi mwako.+ Na sasa tafadhali, acha nimpigilie ardhini kwa mkuki mara moja tu, wala sitafanya hivyo mara mbili.” 9 Hata hivyo, Daudi akamwambia Abishai: “Usimdhuru, kwa maana ni nani anayeweza kuinua mkono wake dhidi ya mtiwa-mafuta wa Yehova+ na asiwe na hatia?”+ 10 Daudi akaendelea kusema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, Yehova mwenyewe atampiga,+ au siku yake itafika+ naye atakufa, au ataenda vitani na kuuawa.+
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Zaburi 37:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
Usikasirishwe na mtu
Anayefanikiwa kutekeleza njama zake.+
 
 -