Methali 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Maneno yanayopendeza ni sega la asali,Ni matamu kwa nafsi* nayo huponya mifupa.+ Methali 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kama matofaa ya dhahabu yaliyonakshiwa kwenye vyombo vya fedhaNdivyo lilivyo neno linalosemwa wakati unaofaa.+
11 Kama matofaa ya dhahabu yaliyonakshiwa kwenye vyombo vya fedhaNdivyo lilivyo neno linalosemwa wakati unaofaa.+