Methali 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hekima ndilo jambo muhimu zaidi,*+ kwa hiyo jipatie hekima,Pamoja na vyote unavyojipatia, jipatie uelewaji.+ Mhubiri 7:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hekima pamoja na urithi ni jambo jema na huwanufaisha wale wanaoona mwanga wa mchana.* 12 Kwa maana hekima ni ulinzi+ kama pesa zilivyo ulinzi,+ lakini hii ndiyo faida ya ujuzi: Hekima humhifadhi hai yule aliye nayo.+
7 Hekima ndilo jambo muhimu zaidi,*+ kwa hiyo jipatie hekima,Pamoja na vyote unavyojipatia, jipatie uelewaji.+
11 Hekima pamoja na urithi ni jambo jema na huwanufaisha wale wanaoona mwanga wa mchana.* 12 Kwa maana hekima ni ulinzi+ kama pesa zilivyo ulinzi,+ lakini hii ndiyo faida ya ujuzi: Hekima humhifadhi hai yule aliye nayo.+