Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa hekima, mtu mwerevu huelewa njia anayofuata,

      Lakini wapumbavu hudanganywa* na ujinga wao.+

  • Methali 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hekima iko mbele kabisa ya uso wa mtu mwenye utambuzi,

      Lakini macho ya mpumbavu hutangatanga mpaka kwenye miisho ya dunia.+

  • Yohana 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi huu ndio msingi wa hukumu: kwamba nuru imekuja ulimwenguni,+ lakini watu wamependa giza badala ya nuru, kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.

  • 1 Yohana 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini mtu anayemchukia ndugu yake yumo katika giza na anatembea katika giza,+ naye hajui anakoenda,+ kwa sababu giza limeyapofusha macho yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki