Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Sulemani alikuwa na wasaidizi 12 waliowasimamia Waisraeli wote waliomwandalia chakula mfalme na nyumba yake. Kila mmoja wao alikuwa na jukumu la kuandaa chakula mwezi mmoja kwa mwaka.+

  • 1 Wafalme 4:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Chakula cha kila siku cha Sulemani kilikuwa kori 30* za unga laini na kori 60 za unga, 23 ng’ombe 10 waliononeshwa, ng’ombe 20 waliopelekwa malishoni, na kondoo 100, pamoja na paa kadhaa, swala, kulungu, na ndege waliononeshwa.

  • 1 Wafalme 10:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Sulemani,+ nyumba aliyojenga,+ 5 chakula kilichokuwa mezani pake,+ jinsi watumishi wake walivyoketi, jinsi watumishi wake walivyohudumu mezani na pia mavazi yao, na wale waliompa vinywaji, na dhabihu zake za kuteketezwa alizotoa kwa ukawaida katika nyumba ya Yehova, alipigwa na bumbuazi.*

  • 1 Wafalme 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Vyombo vyote vya kunywea vya Mfalme Sulemani vilikuwa vya dhahabu, na vyombo vyote vya Nyumba ya Msitu wa Lebanoni+ vilikuwa vya dhahabu safi. Hakukuwa na kitu chochote kilichotengenezwa kwa fedha, kwa maana fedha ilionwa kuwa si kitu katika siku za Sulemani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki