28 Kwa hiyo Waisraeli wote wakasikia kuhusu uamuzi uliofanywa na mfalme, nao wakamwogopa mfalme,+ kwa maana waliona kwamba alikuwa na hekima ya Mungu katika kutekeleza haki.+
9 Mkutanishaji hakupata tu hekima bali pia aliendelea kuwafundisha watu mambo aliyojua,+ naye alitafakari na kufanya uchunguzi kamili ili atunge* methali nyingi.+