19 kwa maana kuna mwisho wa* wanadamu na mwisho wa wanyama; wote wana mwisho uleule.+ Anavyokufa huyu, ndivyo anavyokufa huyu; na wote wana roho ileile.+ Kwa hiyo mwanadamu si bora kuliko wanyama, kwa maana kila kitu ni ubatili.
10 Jambo lolote unalofanya kwa mkono wako, lifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima Kaburini,*+ mahali unapokwenda.