Mwanzo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Yehova Mungu akasema: “Si vema mwanamume huyu aendelee kuwa peke yake. Nitamuumbia msaidizi, awe kikamilisho chake.”+ Methali 27:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kama chuma kinavyonoa chuma,Ndivyo mtu anavyomnoa* rafiki yake.+
18 Kisha Yehova Mungu akasema: “Si vema mwanamume huyu aendelee kuwa peke yake. Nitamuumbia msaidizi, awe kikamilisho chake.”+