Zaburi 15:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova, ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako? Ni nani anayeweza kukaa katika mlima wako mtakatifu?+ 2 Yule anayetembea bila kosa,*+Anayezoea kutenda yaliyo sawa+Na kusema ukweli moyoni mwake.+
15 Ee Yehova, ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako? Ni nani anayeweza kukaa katika mlima wako mtakatifu?+ 2 Yule anayetembea bila kosa,*+Anayezoea kutenda yaliyo sawa+Na kusema ukweli moyoni mwake.+