2 Samweli 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Daudi akamfariji Bath-sheba mke wake.+ Akaingia kwake na kulala naye. Baada ya muda akazaa mwana, akapewa jina Sulemani.*+ Yehova akampenda mwana huyo,+ Methali 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nilikuwa mwana halisi wa baba yangu+Na mama yangu alinipenda sana.+
24 Kisha Daudi akamfariji Bath-sheba mke wake.+ Akaingia kwake na kulala naye. Baada ya muda akazaa mwana, akapewa jina Sulemani.*+ Yehova akampenda mwana huyo,+