16 Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri,+ na wafanyabiashara wa mfalme walinunua makundi ya farasi* kwa bei moja.+17 Kila gari kutoka Misri lilinunuliwa kwa vipande 600 vya fedha, na farasi alinunuliwa kwa vipande 150; kisha waliwauzia wafalme wote wa Wahiti na wafalme wa Siria.