Isaya 66:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Yehova anasema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme, na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Hivyo basi, iko wapi nyumba mnayoweza kunijengea,+Na pako wapi mahali pangu pa kupumzikia?”+
66 Yehova anasema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme, na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Hivyo basi, iko wapi nyumba mnayoweza kunijengea,+Na pako wapi mahali pangu pa kupumzikia?”+