Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 44:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yehova, Mkombozi wako,+

      Aliyekuumba tangu ulipokuwa tumboni, anasema hivi:

      “Mimi ni Yehova, niliyeumba kila kitu.

      Nilizitandaza mbingu mimi mwenyewe,+

      Na kuitandaza dunia.+

      Ni nani aliyekuwa pamoja nami?

  • Yeremia 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yeye ndiye Muumba wa dunia kwa nguvu zake,

      Yule aliyeiimarisha ardhi inayozaa kwa hekima yake+

      Na aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+

  • Zekaria 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Tangazo:

      “Neno la Yehova kuhusu Israeli,” asema Yehova,

      Yule aliyezitandaza mbingu,+

      Aliyeweka msingi wa dunia,+

      Na kuumba roho* iliyo ndani ya mwanadamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki