Ayubu 26:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hulitandaza anga la kaskazini* mahali pasipo na kitu,*+Na kuining’iniza dunia mahali pasipo na kitu; Isaya 40:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kuna Yule anayekaa juu ya duara ya* dunia,+Na wakaaji wake ni kama panzi. Anazitandaza mbingu kama wavu laini,Naye huzitandaza kama hema la kuishi.+
7 Hulitandaza anga la kaskazini* mahali pasipo na kitu,*+Na kuining’iniza dunia mahali pasipo na kitu; Isaya 40:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kuna Yule anayekaa juu ya duara ya* dunia,+Na wakaaji wake ni kama panzi. Anazitandaza mbingu kama wavu laini,Naye huzitandaza kama hema la kuishi.+
22 Kuna Yule anayekaa juu ya duara ya* dunia,+Na wakaaji wake ni kama panzi. Anazitandaza mbingu kama wavu laini,Naye huzitandaza kama hema la kuishi.+