6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+
Yehova wa majeshi, anasema hivi:
‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+
Hakuna Mungu ila mimi.+
7 Ni nani aliye kama mimi?+
Na aseme kwa sauti, atangaze, na kunithibitishia!+
Tangu nilipowatokeza watu wa zamani za kale,
Na waseme mambo yatakayokuja
Na yale yatakayotokea.